Kolombia

República de Colombia
Jamhuri ya Kolombia
Bendera ya Kolombia Nembo ya Kolombia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: Libertad y Orden
"Uhuru na Utaratibu"
Wimbo wa taifa: Oh, Gloria Inmarcesible!
Ewe heshima isiyouzika
Lokeshen ya Kolombia
Mji mkuu Bogota
4°39′ N 74°3′ W
Mji mkubwa nchini Bogota
Lugha rasmi Kihispania
Serikali Jamhuri
Iván Duque Márquez
Uhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa

20 Julai 1810
7 Agosti 1819
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,141,748 km² (ya 26)
8.8%
Idadi ya watu
 - Februari 2015 kadirio
 - 2005 sensa
 - Msongamano wa watu
 
48,014,026 (ya 27)
42,888,592
40.74/km² (173)
Fedha Peso ya Kolombia (COP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5)
(UTC)
Intaneti TLD .co
Kodi ya simu +57

-



Ramani ya Kolombia

Kolombia (kwa Kihispania: República de Colombia) ni nchi kwenye pembe la kaskazini la Amerika ya Kusini.

Imepakana na Venezuela, Brazil, Ekuador, Peru na Panama. Ina pwani mbili, kwenye Pasifiki na Atlantiki.

Jina la nchi limeteuliwa kwa heshima ya Kristoforo Kolumbus (Kihisp.: Cristóbal Colón; kwa Kiitalia: Cristoforo Colombo) aliyegundua njia kati ya Hispania na Amerika mwaka 1492.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search