Kona

Kona

Posta ya Kona
Imeongozwa na Salim Ahmed
Imetayarishwa na Christian Komba
Imetungwa na Salim Ahmed
Nyota Ahmed Salim
Riyama Ally
Christian Komba
Imesambazwa na Steps Entertainment
Imetolewa tar. 30 Mei, 2015
Nchi Tanzania
Lugha Kiswahili

'Kona ni jina la filamu iliyotoka mwaka 2015 kutoka nchini Tanzania. Ndani yake anakuja Salim Ahmed (Gabo), Riyama Ally na Christian Komba. Filamu imeongozwa na Gabo na kutayarishwa na Christian Komba huku picha ikipigwa na Landline Production. Filamu ilitengenezwa mwaka 2014 huko wilayani Songea katika mkoa wa Ruvuma na kusambazwa na Steps Entertainment kwa Tanzania nzima. Muswaada andishi umeandikwa na Patrick Komba. Filamu inaelezea umuhimu wa malezi ya pande zote mbili za wazazi ili kusimamia elimu imara kwa mtoto.[1][2]

  1. Mahojiano ya Gabo juu ya Kona katika Bongo Movies wavuti
  2. Kona katika watuvi ya Archived 13 Juni 2018 at the Wayback Machine. Hivi Sasa

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search