Konstantino Mkuu

Konstantino Mkuu

Konstantino Mkuu (jina kamili: Flavius Valerius Constantinus; Niš, 27 Februari 272İzmit, 22 Mei 337) alikuwa Kaisari wa Dola la Roma tangu mwaka 306 akitawala peke yake tangu 324.

Anakumbukwa kama mtawala aliyefaulu kumaliza kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe na kukubali Ukristo kama dini huru katika dola.

Alihamisha mji mkuu kutoka Roma kwenda Bizanti iliyoitwa baadaye Konstantinopoli.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search