Koti

Mwanamume akiwa amevalia koti ndefu.
Mwanamke akiwa amevalia koti aina ya zippileather.

Koti (kutoka Kiingereza: coat)) ni vazi linalovaliwa na jinsia yoyote kwa minajili ya kupata joto na pia kwa uanamitindo (fasheni).

Koti huwa na mikono mirefu (long sleeve) na huwa wazi kwa upande wa mbele ambapo waweza kufunga kwa kutumia vifungo, mnyororo au mshipi. Koti pia huenda ikawa na kofia au hoodie ya kuvalia kichwani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search