Kroatia

Republika Hrvatska
Jamhuri ya Kroatia
Bendera ya Kroatia Nembo ya Kroatia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Kihistoria: Antemurale Christianitatis (Kilatini)
"Ngome ya Ukristo"
Wimbo wa taifa: "Lijepa naša domovino"
"Nchi yetu nzuri"
Lokeshen ya Kroatia
Mji mkuu Zagreb
45°48′ N 16°0′ E
Mji mkubwa nchini Zagreb
Lugha rasmi Kikroatia1
Serikali Jamhuri
Zoran Milanović
Andrej Plenković
Uhuru
Ilianzishwa
Utemi wa Kroatia
Ufalme wa Kroatia
Kutoka Yugoslavia

Karne ya 7 (mwanzoni)
3 Machi 852
925
25 Juni 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
56,542 km² (ya 126)
0.01
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
4,551,000 (ya 128)
4,284,889
75.8/km² (ya 126)
Fedha Kuna (kn)  (HRK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .hr
Kodi ya simu +385

-

1pia Kitalia katika Istria.



Ramani ya Kroatia
Uwanja wa Arena (colosseum) mjini Pula, Istria

Kroatia (pia Korasia, kwa Kikroatia: Republika Hrvatska) ni nchi ya Ulaya ya kusini-mashariki. Imepakana na Slovenia, Hungaria, Serbia, Bosnia na Herzegovina na Montenegro.

Ng'ambo ya kidaka cha Adria iko Italia.

Mji mkuu ni Zagreb.

Kroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991.

Imejiunga na Umoja wa Ulaya tarehe 1 Julai 2013.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search