Kundinyota

Nyota za kundinyota Jabari (Orion) angani
Baada kuunganisha nyota za Jabari (Orion) kwa kuwaza mistari kunajitokeza picha ya mvindaji
Jabari (Orion) kama mvindaji alivyowazwa na Johann Bayer wakati wa karne ya 17 - alibadilisha kushoto na kulia maana alichora "kwa mtazamo kutoka juu"
Ramani ya anga inayoonyesha kundinyota kwa picha (uchoraji wa karne ya 17, Uholanzi)

Kundinyota (kwa Kiingereza: stellar constellation) ni idadi ya nyota zinazoonekana angani kuwa kama kundi moja.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search