Kupro

Κυπριακή Δημοκρατία (Kigiriki)
Kypriakí Dhimokratía
Kıbrıs Cumhuriyeti (Kituruki)

Jamhuri ya Kupro
Bendera ya Kupro Nembo ya Kupro
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: none
Wimbo wa taifa: Ύμνος εις την Ελευθερίαν
imnos is tin eleftherian
Utenzi wa uhuru1
Lokeshen ya Kupro
Mji mkuu Nikosia
35°08′ N 33°28′ E
Mji mkubwa nchini Nikosia
Lugha rasmi Kigiriki, Kituruki
Serikali Jamhuri
Nicos Christodoulides
Uhuru
Tarehe
16 Agosti 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,251 km² (ya 162)
9
Idadi ya watu
 - 2021 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
1,244,188 (ya 158)
838,897
123.4/km² (ya 82)
Fedha Cyprus Pound (CYP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .cy3
Kodi ya simu +357

-

1 Sawa na wimbo la taifa la Ugiriki


Ramani ya Kupro

Kupro (pia: Kipro, Kuprosi, na hata Saiprasi kutoka Kiingereza Cyprus) ni nchi ya kisiwani upande wa mashariki wa bahari ya Mediteranea.

Kijiografia ni sehemu ya Asia, lakini kiutamaduni na kisiasa ni sehemu ya Ulaya.

Mji mkuu ni Nikosia.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search