Lesotho

Muso oa Lesotho
Ufalme wa Lesotho
Bendera ya Lesotho Nembo ya Lesotho
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Khotso, Pula, Nala
(kwa Kisotho: Amani, Mvua, Ustawi)
Wimbo wa taifa: Lesotho Fatse La Bontata Rona: Lesotho, nchi ya babu zangu
Lokeshen ya Lesotho
Mji mkuu Maseru
29°18′ S 27°28′ E
Mji mkubwa nchini Maseru
Lugha rasmi Kisotho, Kiingereza
Serikali
Letsie III
Moeketsi Majoro
Independence
kutoka Wiingereza
4 Oktoba 1966
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
30,355 km² (140th)
Negligible
Idadi ya watu
 - Julai 2009 kadirio
 - 2004 sensa
 - Msongamano wa watu
 
2,067,000 1 (144)
2,031,348
68.1/km² (138)
Fedha Maloti (LSL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+2)
(UTC)
Intaneti TLD .ls
Kodi ya simu +266

-


Malealea, mandhari ya Lesotho

Ufalme wa Lesotho, au Lesotho, ni nchi ndogo inayozungukwa na Afrika Kusini pande zote. Haina pwani kwenye bahari yoyote.

Jina Lesotho lamaanisha eneo la Basotho (wakazi 99.7%), watu ambao wanaongea lugha ya Kisotho, ambayo ni lugha rasmi pamoja na Kiingereza. Wakati wa ukoloni ilijulikana kama Basutoland.

Sasa ni nchi mwanachama wa Umoja wa Mataifa.

Ina wakazi milioni 2 hivi.

Mji mkuu ni Maseru.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search