Libya

ليبيا
(Lībiyya)
Libya
Bendera ya Libya
Nembo la Libya
Lugha rasmi Kiarabu
Mji Mkuu Tripoli
Serikali Jamhuri ya Kiislamu
Mkuu wa Dola Mohamed al-Menfi
Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibeh
Eneo km² 1.759.541
Idadi ya Wakazi 7,054,493 (Julai 2022)
Wakazi kwa km² 3,74
JPT/mkazi 4.293 US-$ (2004)
Uhuru kutoka Italia tarehe 24 Desemba 1951
Pesa Dinari ya Libya
Wakati UTC+1
Wimbo la Taifa "Libya, Libya, Libya"
Mahali pa Libya katika Afrika
Ramani ya Libya
Ziwa la Um el Maa huko Libya

Libya ni nchi ya Afrika ya Kaskazini kwenye Bahari ya Mediteraneo, inayopakana na Misri, Sudan, Niger, Chad, Algeria na Tunisia.

Eneo kubwa la nchi (90%) ni sehemu ya jangwa la Sahara. Chini yake kuna akiba kubwa ya petroli, ambayo ndiyo utajiri wa nchi.

Miji mikuu ni Tripoli, Benghazi na Misratah.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search