Liechtenstein

Fürstentum Liechtenstein
Utemi wa Liechtenstein
Bendera ya Liechtenstein Nembo ya Liechtenstein
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: none
Wimbo wa taifa: Oben am jungen Rhein
("Juu ya Rhine changa")
Lokeshen ya Liechtenstein
Mji mkuu Vaduz
47°08′ N 9°30′ E
Mji mkubwa nchini Schaan
Lugha rasmi Kijerumani
Serikali Ufalme wa kikatiba (Utemi)
Hans-Adam II wa Liechtenstein
Alois wa Liechtenstein
Daniel Risch
Uhuru
Tarehe
1806 (Mkataba wa Pressburg)
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
160 km² (ya 215)
negligible
Idadi ya watu
 - Julai 2013 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
37,132 (ya 215)
33,307
227/km² (ya 57)
Fedha Frank ya Uswisi (CHF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .li
Kodi ya simu +{{{calling_code}}}

-



Utemi wa Liechtenstein (kwa Kijerumani: Fürstentum Liechtenstein) ni nchi ndogo katika Ulaya ya Kati. Imepakana na Uswisi na Austria. Ni ya sita kati ya nchi huru ndogo zaidi duniani.

Mji mkuu ni Vaduz wanapoishi wakazi 5000.

Ramani ya Liechtenstein

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search