Lisbon

Mji wa Lisbon







Lisbon

Bendera

Nembo
Majiranukta: 38°42′00″N 09°08′00″E / 38.70000°N 9.13333°E / 38.70000; 9.13333
Nchi Ureno
Mkoa Mkoa wa Lisbon
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 564,477
Tovuti:  http://www.cm-lisboa.pt/
Lisbon katika Ureno

Lisbona (kwa Kireno: Lisboa) ni mji mkuu wa Ureno, pia mji mkubwa wa nchi wenye wakazi 560,000; pamoja na rundiko la mji ni milioni mbili.

Mji uko kando ya mto Tejo kwenye kona ya kusini-magharibi ya Ulaya mwambaoni kwa Atlantiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search