Liturujia ya Roma

Altare ya kanisa la Santa Cecilia in Trastevere mjini Roma ilivyotengenezwa miaka ya 1700.
Watoto wakicheza wakati wa Misa katika kanisa kuu la Basankusu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Liturujia ya Roma ni liturujia iliyoenea katika sehemu kubwa ya Kanisa Katoliki, kutoka makao yake makuu, Roma (Italia).

Kwa asili yake ni liturujia ya Kilatini, ingawa kwa sasa inaadhimishwa katika lugha nyingi duniani kote.

Kilichochangia uenezi huo ni hasa heshima ya Kanisa la Roma na askofu wake, Papa.

Katika baadhi ya nchi, kama vile Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baraza la maaskofu limekubaliwa kutamadunisha liturujia hiyo, bila ya kuvunja umoja wake wa msingi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search