Ludwig Krapf

Johann Ludwig Krapf.
Ukurasa wa kwanza wa tafsiri ya Biblia kwa Kiswahili ya Krapf ilivyochapishwa katika jarida la kitaalamu la Marekani mwaka 1849.

Johann Ludwig Krapf (11 Januari 181026 Novemba 1881) alikuwa mmisionari wa kwanza wa Uprotestanti nchini Kenya katika karne ya 19 akatunga kamusi ya kwanza ya lugha ya Kiswahili.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search