Lugha ya kidini

Maandishi ya Kisanskrit yaliyo ya zamani kuliko yote yaliyobaki hadi leo: Devi Māhātmya, juu ya jani la mtende, Bihar au Nepal, karne ya 11.

Lugha ya kidini ni lugha inayotumiwa pekee katika maisha ya kidini kama vile kwa shughuli za liturujia, sala au maandiko matakatifu, wakati wasemaji au wasomaji wa lugha hii ya kidini hutumia lugha nyingine katika maisha ya kawaida.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search