Luxemburg

Groussherzogtum Lëtzebuerg
Grand-Duché de Luxembourg
Großherzogtum Luxemburg

Utemi mkubwa wa Luxemburg
Bendera ya Luxemburg Nembo ya Luxemburg
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kiluxemburg: Mir wëlle bleiwe wat mir sinn
(Kiingereza: "Tunataka kukaa jinsi tulivyo")
Wimbo wa taifa: Ons Hémécht
("Nchi yetu")
WImbo wa kifalme: De Wilhelmus 1
Lokeshen ya Luxemburg
Mji mkuu Luxemburg
49°36′ N 6°7′ E
Mji mkubwa nchini Luxemburg
Lugha rasmi Kifaransa, Kijerumani, Kiluxemburg
Serikali
Mtemi mkubwa
Waziri Mkuu
Utemi Mkubwa
Mtemi Mkubwa Henri
Luc Frieden
Uhuru
Ilitangazwa
Ilithebitishwa
1815
1839
1867
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,586 km² (ya 167)
--
Idadi ya watu
 - 2019 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
613 894 (ya 164)
439,539
233.7/km² (ya 58)
Fedha Euro ()2 (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .lu3
Kodi ya simu +352

-


Ramani ya Luxemburg.

Luxemburg (pia: Lasembagi) ni nchi ndogo katika Ulaya. Imepakana na Ubelgiji, Ufaransa na Ujerumani.

Ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya, tena ilikuwa kati ya nchi sita zilizoanzisha Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya mwaka 1957.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search