Malawi

Dziko la Malaŵi (Chichewa)
Republic of Malawi (Kiingereza)
Jamhuri ya Malawi
Bendera ya Malawi
Bendera ya Malawi
Lugha rasmi Chichewa, Kiingereza
Mji Mkuu Lilongwe
Serikali Jamhuri
Rais Lazarus Chakwera
Eneo km² 118.484
Wakazi 18.143.217 (Julai 2018)
Wakazi kwa km² 153.1
JPT/Mkazi 157 US-$ (2004)
Uhuru kutoka Uingereza tarehe 06.07.1964
Pesa Kwacha ya Malawi
Wimbo wa Taifa Mlungu salitsani Malawi
Malawi katika Afrika
Ramani ya Malawi

Makala hii inahusu nchi ya Malawi. Kwa maana mbalimbali za neno taz. Malawi (maana)

Malawi (wakati wa ukoloni iliitwa Unyasa au Nyasaland) ni nchi ya bara la Afrika iliyopo kusini-mashariki, ikipakana na Tanzania, Msumbiji na Zambia.

Jina la nchi limeteuliwa kutokana na ufalme wa kihistoria wa Maravi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search