Malcolm Guthrie

Malcolm Guthrie (10 Februari 1903 - 22 Novemba 1972) alikuwa profesa wa Lugha za Bantu.

Anajulikana kwa uchambuzi wa Lugha za Kibantu katika makala ya Guthirie 1971, ambayo yamebaki makala muhimu hadi leo ingawa yamezeeka.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search