Malta

Ir-Repubblika ta' Malta
Jamhuri ya Malta
Bendera ya Malta Nembo ya Malta
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: L-Innu Malti
Lokeshen ya Malta
Mji mkuu Valletta
35°48′ N 14°28′ E
Mji mkubwa nchini Birkirkara
Lugha rasmi Kimalta, Kiingereza
Serikali Jamhuri
George Vella
Robert Abela
Uhuru
Kutoka Uingereza
Jamhuri

21 Septemba 1964
13 Desemba 1974
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
316 km² (ya 185)
0.001
Idadi ya watu
 - 31 Machi 2013 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
446,547 (ya 171)
416,055¹
1,562/km² (ya 7)
Fedha Lira ya Malta (Lm)
(Euro kuanzia Januari 2008) (MTL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .mt 2
Kodi ya simu +356

-


Ramani ya Malta
Malta kutoka angani

Malta ni nchi ndogo kwenye funguvisiwa katikati ya bahari ya Mediteranea.

Malta iko km 93 kusini kwa kisiwa cha Sisilia (Italia), upande wa mashariki kwa Tunisia na kaskazini kwa Libya.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search