Mashariki ya Kati (kwa Kiingereza Middle East) ni namna ya kutaja sehemu kubwa ya Asia ya Magharibi pamoja na Afrika ya kaskazini-mashariki, hasa Misri.
Kwa kawaida nchi zifuatazo huhesabiwa humo:
Nchi hizo zinatajwa pamoja kwa sababu zina historia ya pamoja na utamaduni wa karibu.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search