Mashine

Mashine ya kutengenezea matofali

Mashine ni kifaa kilichobuniwa na binadamu kwa kurahisisha kazi yake.

Mashine vinatumia nguvu inayoelekezwa kwa kutekeleza kazi maalumu.

Kuna mashine zenye vipande vingi vya kuzunguka kama baiskeli au saa.

Kuna mashine vyenye vipande visivyozunguka kama kompyuta au simu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search