Mauritania

الجمهورية الإسلامية الموريتانية
Al-Ǧumhūriyyah al-Islāmiyyah al-Mūrītāniyyah
République Islamique de Mauritanie

Jamhuri ya Kiislamu ya Mauritania
Bendera ya Mauritania Nembo ya Mauritania
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kiarabu: شرف إخاء عدل;
Kifaransa: Honneur, Fraternité, Justice
(Heshima, Undugu, Haki)
Wimbo wa taifa: كن للاله ناصرا وأنكر المناكر
(Uwe msaidizi wa Mungu)
Lokeshen ya Mauritania
Mji mkuu Nouakchott
18°09′ N 15°58′ W
Mji mkubwa nchini Nouakchott
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Jamhuri, serikali ya kirais
Mohamed Ould Ghazouani
Uhuru
 - Tarehe
Kutoka Ufaransa
28 Novemba 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,030,700 km² (ya 29)
0.03
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2013 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,086,859 (129)
3,537,368
3.2/km² (ya 221)
Fedha Ouguiya (MRO)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
-- (UTC+0)
Intaneti TLD .mr
Kodi ya simu +222

-



Mauritania ni nchi ya Afrika kaskazini-magharibi. Upande wa magharibi kuna pwani ya bahari ya Atlantiki, upande wa kusini imepakana na Senegal, upande wa mashariki na Mali na Algeria, upande wa kaskazini na Sahara ya Magharibi inayotawaliwa na Moroko.

Jina limeteuliwa kutokana na Mauritania ya kale iliyokuwa ufalme wa Waberber kusini kwa Mediteranea katika eneo la Algeria na Moroko ya leo.

Mji mkuu ni Nouakchott. Mji wa pili na kitovu cha uchumi ni bandari ya Nouadhibou karibu na mpaka wa Sahara Magharibi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search