Mbegu

Mbegu za alizeti zimekauka lakini zinahitaji tu maji, halijoto ya kufaa na mwanga ili kuanzisha mmea mpya
Muundo wa ndani ya mbegu: a)ganda la mbegu b) lishe (endosperm) c) cotyledon au chanzo cha jani d) hypocotyledon au chanzo cha mzizi

Mbegu ni sehemu ya tunda la mmea inayoweza kuendelea kuwa mmea mpya. Mbegu ni njia ya kuzaliana kwa mimea mingi zinazoitwa kwa njia ya kibiolojia spermatophytina. Mbegu inaanzishwa ndani ya ua la mmea inaendelea kukua. Kuna mbegu ndogo sana ambazo ni vigumu kuona kwa jicho na mbegu kubwa kama nazi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search