Mfiadini

Mfiadini ni binadamu yeyote aliyeuawa kwa ajili ya imani au maadili ya dini aliyoiamini.

Inasikitisha kwamba katika historia dhuluma nyingi zilifanywa na serikali, viongozi na wafuasi wa dini na madhehebu tofauti, na watu wengine.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search