Mfungo wa Mitume

Picha takatifu ya karne ya 13 ikiwaonyesha Mitume Petro na Paulo (Belozersk).
Mwaka wa liturujia
Magharibi
Mashariki

Mfungo wa Mitume (pia: Mfungo wa Mitume Watakatifu, Mfungo wa Petro na Paulo, Mfungo wa Mt. Petro na hata Mfungo wa Rafik) [1] ni mfungo unaofanywa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki wa Mashariki.

Mfungo huo unaanza Jumatatu ya pili baada ya Pentekoste (siku baada ya Jumapili ya Watakatifu Wote) na kuendelea hadi sikukuu ya Mitume Petro na Paulo inayoadhimishwa tarehe Juni 29.

  1. Bulgakov, Sergei, Handbook for Church Servers, Movable Feasts and Other Church Seasons Archived 23 Januari 2020 at the Wayback Machine., (Kharkov, Ukraine, 1900),

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search