Misri

Jamhuri ya Kiarabu ya Misri (Kiswahili)
Gumhūriyyat Misr al-ʿarabiyya (Kiarabu)
Bendera ya Misri Nembo ya Misri
(Bendera ya Misri) (Nembo ya Misri)
Lugha rasmi Kiarabu
Mji Mkuu Cairo
Mji Mkubwa Cairo
Serikali Jamhuri
Rais Abdel Fattah el-Sisi
Eneo km² 1,010,408
Idadi ya wakazi 100,075,480 (2020)
Wakazi kwa km² 99
Uchumi nominal Bilioni $302.256
Uchumi kwa kipimo cha umma $3,047
Pesa Lira au Pauni ya Misri = 100 Piaster
Kaulimbiu "Haki - Amani - Kazi"
Wimbo wa Taifa 'Biladi, Biladi, Biladi (nchi yangu, nchi yangu, nchi yangu)
Misri katika Afrika
Saa za Eneo UTC +2
Mtandao .eg
Kodi ya Simu +20

Misri (kwa Kiarabu: مصر, Masr) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Mashariki ikiwa na eneo la Rasi ya Sinai kwenye bara la Asia pia.

Ni nchi yenye wakazi milioni 100 na mji mkuu Kairo ni kati ya miji mikubwa zaidi duniani (zaidi ya milioni 9).

Ni kati ya nchi za dunia zenye historia ndefu inayojulikana.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search