Mita

Mita ya kimataifa, Reli ya metali ya platini iliyokuwa mfano halisi wa mita hadi mwaka 1960. (NIST)

Mita (pia: meta) ni kipimo cha urefu ambacho kimekuwa kipimo sanifu cha kimataifa.

Neno limetokana na Kigiriki μέτρον/métron (kipimo, pia chombo cha kupimia), kwa kupitia Kiingereza "metre, meter".

Kutokana na maana hiyo "mita" inataja pia mitambo ya kupima maji, umeme na kadhalika. Hapo matumizi ya Kiswahili yanafanana na ya Kiingereza "metre".


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search