Mmonaki (kutoka Kigiriki μοναχός, monachos, "wa pekee") ni mwanamume au mwanamke anayefanya juhudi za pekee katika dini yake, akiishi peke yake au katika jumuia ya kitawa, ambayo nyumba yake inaitwa monasteri.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search