Mpaka

Geti la kuvuka mpaka baina ya Togo na Benin.
Mpaka baina ya Berlin Mashariki na Berlin Magharibi hadi mwaka 1990.
Mpaka usio na vizuizi baina ya Austria na Ujerumani ndani ya Umoja wa Ulaya.

Mpaka ni sehemu ambako kitu kinafikia mwisho wake. Mara nyingi neno hutumiwa kutaja mwisho wa eneo fulani, kama vile kiwanja, shamba au nchi.

Vieneo vya hisabati huwa pia na mpaka, kama vile maumbo ya kijiometria (mraba, duara) au seti. Vipindi vya wakati huwa na mpaka vilevile.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search