Mtakatifu

Katika utamaduni wa Kikristo, watakatifu huchorwa na nembo takatifu, kama ishara ya utakatifu wao; tazama jinsi Yuda Iskarioti (wa mbele kabisa) ni mtume pekee ambaye hana nembo hiyo.

Mtakatifu ni binadamu aliye hai au aliyekufa ambaye dini fulani au watu mbalimbali wanamheshimu kwa namna ya pekee kwa jinsi alivyoonekana kuwa karibu zaidi na Mungu hata akashirikishwa utakatifu wake. Kwa hiyo hutazamwa kama kielelezo cha uadilifu na pengine kama mwombezi pia.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search