Mvua

Mawingu wa mvua mlimani

Mvua ni matone ya maji yanayoanguka chini kutoka mawingu angani.

Mvua ni aina ya usimbishaji. Kama matone yafikia kipenyo cha zaidi ya milimita 0.5 huitwa mvua. Kama matone ni madogo zaidi kunaitwa manyonyota. Mgongoni mwa ardhi mvua imetapaka kisawasawa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search