Natal

Ramani inaonyesha eneo la jimbo la Natal (na. 4, rangi nyekundu-nyeupe) pamoja na maeneo ya KwaZulu (njano) ndani ya Afrika Kusini kabla ya 1994

Natal ilikuwa koloni ya Uingereza katika Afrika ya Kuini-Mashariki tangu 1856. 1910 ikaingia kama jimbo la Natal katika Muungano wa Afrika Kusini pamoja na koloni nyingine za Rasi, Transvaal na Dola Huru.

1994 jimbo la Natal liliunganishwa na bantustan ya KwaZulu kuwa jimbo jipya la KwaZulu-Natal.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search