Nauru

Ripublik Naoero
Jamhuri ya Nauru
Bendera ya Nauru Nembo ya Nauru
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "God's Will First"
Wimbo wa taifa: Nauru Bwiema
Lokeshen ya Nauru
Mji mkuu (hakuna) 1
0°32′ S 166°55′ E
Mji mkubwa nchini Yaren
Lugha rasmi Kiingereza , Kinauru
Serikali
Rais
Jamhuri
Lionel Aingimea
Uhuru
kutoka ulinzi wa Australia, New Zealand, na Uingereza -kwa niaba ya UM

31 Januari 1968
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
21 km² (ya 227)
‘‘(kidogo sana)’’
Idadi ya watu
 - Julai 2011 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
9,378 (ya 216)
447/km² (ya 23)
Fedha Dollar ya Australia (AUD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+12)
(UTC)
Intaneti TLD .nr
Kodi ya simu +674

-



Nauru ni nchi ya kisiwani ya Mikronesia katika Pasifiki ya kusini.

Ni nchi ndogo sana (ya tatu baada ya Vatikani na Monaco), yenye km² 21 pekee na wakazi wasiofikia 10,000.

Kisiwa jirani zaidi ni Banaba katika Kiribati chenye umbali wa km 300.

Nauru haina mji mkuu rasmi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search