| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "God's Will First" | |||||
Wimbo wa taifa: Nauru Bwiema | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | (hakuna) 1 | ||||
Mji mkubwa nchini | Yaren | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza , Kinauru | ||||
Serikali Rais
|
Jamhuri Lionel Aingimea | ||||
Uhuru kutoka ulinzi wa Australia, New Zealand, na Uingereza -kwa niaba ya UM |
31 Januari 1968 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
21 km² (ya 227) ‘‘(kidogo sana)’’ | ||||
Idadi ya watu - Julai 2011 kadirio - Msongamano wa watu |
9,378 (ya 216) 447/km² (ya 23) | ||||
Fedha | Dollar ya Australia (AUD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+12) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .nr | ||||
Kodi ya simu | +674
- |
Nauru ni nchi ya kisiwani ya Mikronesia katika Pasifiki ya kusini.
Ni nchi ndogo sana (ya tatu baada ya Vatikani na Monaco), yenye km² 21 pekee na wakazi wasiofikia 10,000.
Kisiwa jirani zaidi ni Banaba katika Kiribati chenye umbali wa km 300.
Nauru haina mji mkuu rasmi.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search