Ndui (kwa Kiingereza: smallpox) ilikuwa ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na aina mbili za virusi: Variola major na Variola minor.
Ulikuwa unaleta kifo cha waliopatwa kwa asilimia 30-35, lakini zaidi kati ya watoto.
Walionusurika wengi waliachwa na makovu ya kudumu hasa katika uso.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search