Nigeria

Federal Republic of Nigeria
Jamhuri ya Shirikisho ya Nigeria
Bendera ya Nigeria Nembo ya Nigeria
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unity and Faith, Peace and Progress (Umoja na Imani, Amani na Maendeleo)
Wimbo wa taifa: Arise O Compatriots, Nigeria's Call Obey (Amkeni wananchi, mtieni wito la Nigeria)
Lokeshen ya Nigeria
Mji mkuu Abuja
9°10′ N 7°10′ E
Mji mkubwa nchini Lagos
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali
Rais
Makamu wa Rais
Shirikisho la Jamhuri
Muhammadu Buhari
Yemi Osinbajo
Uhuru
kutoka Uingereza
1 Oktoba 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
923,768 km² (ya 32)
1.4%
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - 2006 sensa
 - Msongamano wa watu
 
182,202,000 (ya 7)
140,431,790
188.9/km² (ya 71)
Fedha Naira (₦) (NGN)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+1)
(UTC+2)
Intaneti TLD .ng
Kodi ya simu +234

-


Nigeria (kwa Kiswahili pia: Nijeria au Naijeria) ni nchi ya Afrika ya Magharibi kwenye pwani ya Bahari Atlantiki.

Imepakana na Benin, Niger, Chad na Kamerun.

Mji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991.

Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.

Kwa sasa ni nchi ya Afrika yenye watu wengi na uchumi mkubwa kuliko zote. Kimataifa, ni ya 7 kwa idadi ya watu na ya 20 kwa uchumi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search