Panama

República de Panamá
Jamhuri ya Panama
Bendera ya Panama Nembo ya Panama
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Latin: Pro Mundi Beneficio
(Kilatini: Kwa salama ya dunia)
Wimbo wa taifa: Himno Istmeño
(Wimbo la shingo la nchi)
Lokeshen ya Panama
Mji mkuu Panama
8°58′ N 79°32′ W
Mji mkubwa nchini Panama
Lugha rasmi Kihispania (rasmi), Kiingereza na lugha za kieneyeji kwenye pwani la Karibi
Serikali demokrasia
José Raúl Mulino
Uhuru
kutoka Hispania
Kolombia

28 Novemba 1821
3 Novemba 1903
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
75,517 km² (ya 118)
2.9
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2023 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,377,768 (ya 133)
4,064,780
53.9/km² (ya 127)
Fedha Balboa (PAB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5)
(UTC-5)
Intaneti TLD .pa
Kodi ya simu +507

-


Ramani ya Panama

Panama ni nchi ya mwisho kusini mwa Amerika ya Kati. Shingo ya nchi ya Panama hutazamwa kuwa mpaka kati ya bara la Amerika ya Kaskazini na lile la Amerika ya Kusini.

Imepakana na Kosta Rika na Kolombia; pwani ya Bahari ya Karibi iko upande wa kaskazini na pwani ya Pasifiki upande wa kusini.

Nchi iko kwenye sehemu nyembamba kabisa ya Amerika ya Kati.

Mfereji wa Panama hukata shingo la nchi na kufanya jina la Panama kujulikana kote duniani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search