Papa Gregori XIII

Papa Gregori XIII.

Papa Gregori XIII (Bologna, Italia, 7 Januari 1502; Roma, 10 Aprili 1585) alikuwa Papa wa Kanisa Katoliki kuanzia tarehe 13/25 Mei 1572 hadi kifo chake[1]. Alitokea Bologna, Italia[2].

Alimfuata Papa Pius V akafuatwa na Papa Sixtus V.

Anakumbukwa hasa kwa matengenezo ya kalenda iliyokuja kujulikana kama "kalenda ya Gregori" ikawa kalenda ya kimataifa kote duniani hadi leo.

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search