Papua Guinea Mpya

'Papua Guinea Mpya'
Papua Niugini
The Independent State of Papua New Guinea
Bendera ya Papua Guinea Mpya Nembo ya Papua Guinea Mpya
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unity in diversity
Wimbo wa taifa: O Arise, All You Sons[1]
Lokeshen ya Papua Guinea Mpya
Mji mkuu Port Moresby
9°30′ S 147°07′ E
Mji mkubwa nchini Port Moresby
Lugha rasmi Kiingereza, Tok Pisin, Hiri Motu
Serikali Ufalme wa Kikatiba
Charles III wa Uingereza
Sir Bob Dadae
James Marape
Uhuru
Madaraka ya kujitawala
Uhuru

1 Desemba 1973
16 Septemba 1975
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
462,840 km² (ya 54)
2
Idadi ya watu
 - 2011 preliminary census kadirio
 - Msongamano wa watu
 
7,059,653 (ya 102)
15/km² (ya 201)
Fedha Kina (PGK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
AEST (UTC+10)
(UTC+10)
Intaneti TLD .pg
Kodi ya simu +675

-


Ramani ya Papua Guinea Mpya
Wanakijiji huko Kerepunu, British New Guinea, 1885.

Papua Guinea Mpya (Independen Stet bilong Papua Niugini) ni nchi karibu na Indonesia na Australia inayokalia upande wa mashariki wa kisiwa cha Guinea Mpya pamoja na visiwa vya kandokando.

Nchi ni mwanachama wa Jumuia ya Madola. Mtawala ni Malkia Elizabeth II.

Mji mkuu ni Port Moresby.

  1. "Never more to rise". The National (6 Februari 2006). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-13. Iliwekwa mnamo 2005-01-19.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search