Petroli ni aina ya fueli inayopatikana kwa kawaida kwa mwevusho wa mafuta ya petroli. Kikemia ni mchanganyiko wa hidrokaboni zaidi ya 100. [1]
Matumizi ya petroli ni hasa fueli za injini za motokaa, pikipiki na eropleni.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search