Pua ni kiungo cha mwili wa watu na wanyama vertebrata chenye tundu kilicho juu ya mdomo. Kazi yake ni kunusa harufu ya vitu.
Inasaidia pia kazi ya kupumua; tena kwa wanyama kadhaa kama farasi ni mlango mkuu wa mfumo wa upumuaji.
Kwa watu na pia wanyama wengi puani mna nywele zenye kazi ya kuchuja vumbi.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search