Jiji Casablanca, Morocco | |
Mahali pa mji wa Rabat katika Moroko |
|
Majiranukta: 34°1′20″N 6°50′4″W / 34.02222°N 6.83444°W | |
Nchi | Moroko |
---|---|
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 627 000 |
Tovuti: http://www.rabat.ma/ |
Rabat (Kiarabu الرباط Ar-Ribat) ni mji mkuu wa Moroko na mji mkubwa wa pili nchini baada ya Casablanca ikiwa na wakazi 1,622,860 (2004) pamoja na Sale. Jina lenyewe la "ribat" linadokeza kwa asili ya mji kuwa boma la kijeshi.
Rabat iko mwambanoni wa Atlantiki kwenye mdomo wa mto Bou Regreg. Ng'ambo ya mto iko Sale ambayo ni mji pacha. Miji yote miwili ina viwanda vya nguo, vyakula na za ujenzi. Utalii pamoja na mabalozi ya nchi nyingi walioko Rabat kwa mfalme wanaongeza misingi ya uchimu wa mji.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search