Sahani

Sahani ni chombo cha nyumbani chenye umbo la duara, kilichotengenezwa kwa udongo wa kauri, bati au chuma kinachotumiwa hasa kuwekea vyakula.

Tangu zamani, sahani zimepambwa na kuwa sehemu ya sanaa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search