Saint Vincent na Grenadini

Saint Vincent and the Grenadines
Bendera ya Saint Vincent na Grenadini Nembo ya Saint Vincent na Grenadini
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Pax et justitia
(Kilatini: Amani na haki)
Wimbo wa taifa: St Vincent Land So Beautiful
Lokeshen ya Saint Vincent na Grenadini
Mji mkuu Kingstown
13°10′ N 61°14′ W
Mji mkubwa nchini Kingstown
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Demokrasia
Nchi ya Jumuiya ya Madola
Charles III wa Uingereza
Susan Dougan
Ralph Gonsalves
Uhuru
tarehe

27 Oktoba 1979
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
389 km² (ya 201)
Kidogo sana
Idadi ya watu
 - [[2021]] kadirio
 - [[2021|2021]] sensa
 - Msongamano wa watu
 
104,332 (ya 179)
100.455
307/km² (ya 39)
Fedha East Caribbean dollar (XCD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC)
Intaneti TLD .vc
Kodi ya simu +1-784

-


Ramani ya St. Vincent na Grenadini

Saint Vincent na Grenadini ni nchi ya visiwani ya Antili Ndogo katika bahari ya Karibi. Iko kaskazini kwa Grenada na Trinidad na Tobago na kusini kwa Saint Lucia.

Saint Vincent ndiyo kisiwa kikubwa na Grenadini ni kundi la visiwa vidogo. Kwa jumla eneo la nchi kavu ni kilometa mraba 389.

Mji mkuu wa Kingstown, huko St. Vincent.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search