Mwaka wa liturujia |
---|
Magharibi |
Mashariki |
Siku tatu kuu za Pasaka ndizo kiini cha mwaka wa Kanisa.
Zimekusudiwa kumuadhimisha Yesu mteswa, mzikwa na mfufuka, yaani:
Siku hizo tatu ni kama bawaba kati ya Kwaresima na kipindi cha Pasaka. Ingawa tarehe zinabadilika kila mwaka, zinaangukia daima kati ya Machi mwishoni na Aprili mwishoni.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search