Sudan

جمهورية السودان
Jumhuriyat as-Sudan

Republic of the Sudan
Bendera ya Sudan Nembo ya Sudan
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Al-Nasr Lana (Kiarabu: Ushindi ni Wetu)
Wimbo wa taifa: نحن جند للہ جند الوطن Nahnu Jund Allah Jund Al-watan ("Sisi ni Jeshi ya Mungu na Nchi yetu")
Lokeshen ya Sudan
Mji mkuu Khartoum
15°00′ N 30°00′ E
Mji mkubwa nchini Omdurman
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali
Abdel Fattah al-Burhan
Abdalla Hamdok
Uhuru
 - Tarehe
Kutoka Misri na Uingereza
1 Januari 1956
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,886,068 km² (ya 16)
5%
Idadi ya watu
 - Julai 2015 kadirio
 - 2008 sensa
 - Msongamano wa watu
 
40,235,000 (ya 35)
30,894,000
16.4/km² (195)
Fedha Dinar (SDD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MSK (UTC+3)
not observed (UTC+3)
Intaneti TLD .sd
Kodi ya simu +249

-


Ramani ya Sudan ikionyesha majimbo yake

Sudan (jina rasmi: Jamhuri ya Sudan) ni nchi ya tatu kwa ukubwa katika bara la Afrika na ya kumi na sita duniani

Imepakana na Misri kaskazini, Bahari ya Shamu kaskazini-mashariki, Eritrea na Ethiopia mashariki, Sudan Kusini kusini-mashariki, Afrika ya Kati na Chadi magharibi, na Libya kaskazini-magharibi.

Kijiografia nchi hii huhesabiwa kama sehemu ya Afrika ya Kaskazini.

Mji mkuu ni Khartoum.

Majimbo ya Sudan Kusini yalikuwa sehemu ya nchi hiyo lakini yalipiga kura ya kujitenga yakapata kuwa nchi huru kuanzia tarehe 9 Julai 2011.

Aliyekuwa makamu wa Rais John Garang, ambaye awali aliongoza wanamgambo wa Sudan Kusini kupigania uhuru wa majimbo ya kusini.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search