Timor ya Mashariki

Repúblika Demokrátika Timor Lorosa'e
República Democrática de Timor-Leste

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Timor ya Mashariki
Bendera ya Timor ya Mashariki Nembo ya Timor ya Mashariki
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Honra, Pátria e Povo"  (Kireno)
"Heshima, Taifa na Watu"
Wimbo wa taifa: Pátria
Lokeshen ya Timor ya Mashariki
Mji mkuu Dili
8°34′ S 125°34′ E
Mji mkubwa nchini Dili
Lugha rasmi Kitetum, Kireno1
Serikali Jamhuri
José Ramos-Horta
Taur Matan Ruak
Uhuru
Ilitangazwa
Ilikubaliwa
{{{established_dates}}}
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
15,007 km² (ya 159)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2021 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
1,340,513 (ya 153)
78/km² (ya 137)
Fedha U.S. Dollar3 (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+9)
(UTC)
Intaneti TLD .tl3
Kodi ya simu +670

-

1 Kiingereza na Kiindonesia vimekubaliwa na katika ya nchi kama "lugha za kazi".
2 Indonesia ilivamia Timor tar. 7 Desemba 1975 na kuondoka 1999.
3 Kuna pia sarafu za centavo ya Timors ya Mashariki.



Ramani

Timor ya Mashariki (kwa Kireno Timor-Leste, kwa Kitetum Timór Lorosa'e; jina rasmiː República Democrática de Timor-Leste au Repúblika Demokrátika Timór-Leste) ni nchi ya Asia ya kusini-mashariki kwenye kisiwa cha Timor, takriban km 640 kaskazini kwa Darwin, Australia.

Eneo lake ni nusu ya mashariki ya kisiwa hicho pamoja na visiwa vya Atauro na Jaco. Kuna pia eneo dogo upande wa magharibi ya Timor ambao kwa kiasi kikubwa uko chini ya Indonesia pamoja na visiwa vya jirani.

Eneo lote la nchi ni km² 15,007.

Mji mkuu ni Dili wenye wakazi 245,000.

Timor ya Mashariki ni kati ya nchi maskini zaidi duniani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search