Togo

République Togolaise
Jamhuri ya Togo
Bendera ya Togo Nembo ya Togo
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Travail, Liberté, Patrie
(Kifaransa: Kazi, Uhuru, Taifa)
Wimbo wa taifa: Salut à toi, pays de nos aïeux
(Usalimiwe nchi ya wazee wetu)
Lokeshen ya Togo
Mji mkuu Lomé
6°7′ N 1°13′ E
Mji mkubwa nchini Lomé
Lugha rasmi Kifaransa
Serikali Jamhuri
Faure Gnassingbé
Victoire Tomegah Dogbé
uhuru
kutoka Ufaransa
27 Aprili 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
56,785 km² (ya 123)
4.2
Idadi ya watu
 - Julai 2022 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
8,492,333 * (ya 102 **)
5,337,000
125.9/km² (ya 93 **)
Fedha CFA franc (XOF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
(UTC)
Intaneti TLD .tg
Kodi ya simu +228

-


Togo ni nchi ya Afrika ya Magharibi inayofikia kwenye mwambao wa Ghuba ya Guinea (bahari ya Atlantiki) ikipakana na Benin upande wa mashariki, Burkina Faso kaskazini na Ghana mashariki.

Idadi ya wakazi ilikuwa zaidi ya milioni 8 u nusu mwaka 2022.

Mji mkuu ni Lome.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search