Tripoli ni neno la asili ya Kigiriki (Τρίπολις - Trípolis au Τρίπολη - Trípoli) linalomaanisha "miji mitatu" au "mji mwenye sehemu tatu". Asili yake ni maungano ya miji mitatu ya jirani kuwa mji au dola moja. Katika lugha ya Kiarabu neno limekuwa "Trablus" au "Tarablus" (طرابلس).
Neno linataja miji mbalimbali ya kisasa au ya kihistoria ndiyo hasa
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search