| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Tuvalu mo te Atua (Kituvalu ya "Tuvalu kwa ajili ya Mola") | |||||
Wimbo wa taifa: Tuvalu mo te Atua | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Vaiaku (kijiji), Fongafale (kisiwa), Funafuti (atolli) | ||||
Mji mkubwa nchini | -- | ||||
Lugha rasmi | Kituvalu, Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Charles III wa Uingereza Tofiga Vaevalu Falani Feleti Teo | ||||
Independence kutoka Uingereza |
1 Oktoba 1978 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
26 km² (ya 227) (kidogo sana) | ||||
Idadi ya watu - [[]] kadirio - 2017 sensa - Msongamano wa watu |
(ya 196) 11,192 476/km² (ya 27) | ||||
Fedha | Dollar ya Tuvalu Dollar ya Australia ( AUD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+12) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .tv | ||||
Kodi ya simu | +688
- |
Tuvalu ni nchi ya visiwani ya Polynesia katika Bahari ya Pasifiki kati ya Hawaii na Australia. Nchi jirani katika bahari ni Kiribati, Samoa na Fiji.
Jina la Tuvalu lamaanisha "visiwa vinane" kwa sababu kiasili kulikuwa na visiwa 8 tu vilivyokaliwa na watu. Kisiwa cha tisa kimepata wakazi tangu mwaka 1943.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search