Tuvalu

Tuvalu
Bendera ya Tuvalu Nembo ya Tuvalu
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Tuvalu mo te Atua
(Kituvalu ya "Tuvalu kwa ajili ya Mola")
Wimbo wa taifa: Tuvalu mo te Atua
Lokeshen ya Tuvalu
Mji mkuu
Vaiaku (kijiji),
Fongafale (kisiwa), Funafuti (atolli)
8°31′ S 179°13′ E
Mji mkubwa nchini --
Lugha rasmi Kituvalu, Kiingereza
Serikali Ufalme wa kikatiba
Charles III wa Uingereza
Tofiga Vaevalu Falani
Feleti Teo
Independence
kutoka Uingereza

1 Oktoba 1978
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
26 km² (ya 227)
(kidogo sana)
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2017 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 196)
11,192
476/km² (ya 27)
Fedha Dollar ya Tuvalu
Dollar ya Australia (AUD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+12)
(UTC)
Intaneti TLD .tv
Kodi ya simu +688

-


Tuvalu ni nchi ya visiwani ya Polynesia katika Bahari ya Pasifiki kati ya Hawaii na Australia. Nchi jirani katika bahari ni Kiribati, Samoa na Fiji.

Jina la Tuvalu lamaanisha "visiwa vinane" kwa sababu kiasili kulikuwa na visiwa 8 tu vilivyokaliwa na watu. Kisiwa cha tisa kimepata wakazi tangu mwaka 1943.

Ramani ya Tuvalu

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search