Ubelgiji

Koninkrijk België
Royaume de Belgique
Königreich Belgien

Ufalme wa Ubelgiji
Bendera ya Ubelgiji Nembo ya Ubelgiji
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kifaransa: L'union fait la force ;
Kiholanzi: Eendracht maakt macht ;
Kijerumani: Einigkeit macht stark.
(Kiswahili: "Umoja ni nguvu")
Wimbo wa taifa: La Brabançonne (Wimbo la Brabant)
Lokeshen ya Ubelgiji
Mji mkuu Brussels
50°54′ N 4°32′ E
Mji mkubwa nchini Brussels
Lugha rasmi Kiholanzi, Kifaransa, Kijerumani
Serikali Ufalme wa kikatiba
Philippe Saxe-Coburg na Gotha
Alexander De Croo
Uhuru
Mapinduzi ya Ubelgiji
1830
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
30,689 km² (ya 136)
0.71
Idadi ya watu
 - Novemba 2022 kadirio
 - [[{{{population_census_year}}}|{{{population_census_year}}}]] sensa
 - Msongamano wa watu
 
11,697,557 (ya 82)
11,515,793[1]

population_census_year = Novemba 2019
376/km² (ya 22)

Fedha Euro (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .be
Kodi ya simu +32

-


Ubelgiji (België kwa Kiholanzi, Belgique kwa Kifaransa na Belgien kwa Kijerumani) ni ufalme wa Ulaya ya Magharibi. Ni kati ya nchi 6 zilizoanzisha Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya ambayo baadaye imekuwa Umoja wa Ulaya.

Imepakana na Ufaransa, Uholanzi, Ujerumani na Luxemburg.

Ina pwani kwenye Bahari ya Kaskazini.

Mji mkuu ni Brussels.

  1. https://statbel.fgov.be/nl/themas/bevolking/structuur-van-de-bevolking

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search