Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015
|
2010 ←
|
25 Oktoba 2015 (2015-10-25)[1]
|
→ 2020
|
|
|
|
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015 ulifanyika tarehe 25 Oktoba. Wapiga kura walimchagua Rais, wabunge na Madiwani.
Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa Chadema.[2]. Kadiri ya tume hiyo, Magufuli alipata kura 8,882,935, sawa na asilimia 58.46 na Lowassa alipata kura 6,072,848, sawa na asilimia 39.97. Hata hivyo wapinzani walikataa kukubali matokeo hayo na wasimamizi wa uchaguzi kutoka nje walilaumu sana baadhi ya taratibu na matukio.
- ↑ Raphaely, Lawrence. "NEC sets October 25 as general elections date", 26 May 2015. Retrieved on 2015-08-12. Archived from the original on 2015-07-07.
- ↑ "John Magufuli Declared Winner in Tanzania’s Presidential Election", The New York Times, 29 October 2015. Retrieved on 30 October 2015.