Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015

Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015
Tanzania
2010 ←
25 Oktoba 2015 (2015-10-25)[1]
→ 2020

 
Mgombea John Magufuli Edward Lowassa
Chama Chama Cha Mapinduzi CHADEMA
Mgombea mwenza Samia Suluhu Juma Duni Haji



Incumbent President

Jakaya Kikwete
CCM

Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015 ulifanyika tarehe 25 Oktoba. Wapiga kura walimchagua Rais, wabunge na Madiwani.

Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa Chadema.[2]. Kadiri ya tume hiyo, Magufuli alipata kura 8,882,935, sawa na asilimia 58.46 na Lowassa alipata kura 6,072,848, sawa na asilimia 39.97. Hata hivyo wapinzani walikataa kukubali matokeo hayo na wasimamizi wa uchaguzi kutoka nje walilaumu sana baadhi ya taratibu na matukio.

  1. Raphaely, Lawrence. "NEC sets October 25 as general elections date", 26 May 2015. Retrieved on 2015-08-12. Archived from the original on 2015-07-07. 
  2. "John Magufuli Declared Winner in Tanzania’s Presidential Election", The New York Times, 29 October 2015. Retrieved on 30 October 2015. 

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search